May 17, 2024, 02:59 PM
Serikali yaanika mikakati ya kupunguza gharama za nishati safi ya kupikia Tanzania
Serikali ya Tanzania imeainisha mipango mikakati itakayosaidia kupunguza gharama ya nishati safi ya kupikia ili kuwezesha wananchi wengi kumudu gharama zake jambo litakalosaidia kupunguza matumizi ya nishati zisizo salama kama mkaa na kuni. Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga aliyekuwa akizungumza na wanahabari katika mkutano maalum ulioandaliwa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu jijini Dar es […]