Magimbi ni miongoni mwa chakula kinachopendwa zaidi na watu hasa msimu wa Ramadhani. Hupatikana katika maeneo tofauti tofauti katika mikoa yote ya Tanzania.
Magimbi ni moja ya chakula cha asili kinachotokana na mmea unaoitwa mgimbi.
Imezoeleka kuwa chakula hiki huweza kupikwa kwa kuchemshwa tu lakini chakula hiki kinaweza kupikwa kwa namna nyingine tofauti ya kuvutia na kuweza kuliwa.
Magimbi husaidia katika kuimarisha afya ya ngozi, pamoja na kupunguza hatari kubwa ya kupata magonjwa kama vile kisukari.
MAHITAJI
Nyama iliyochemshwa ½ kilo, magimbi yaliyo menywa na kukatwa vipande ½ kilo, karoti, pilipili hoho, kitunguu, nyanya, kitunguu swaumu, nazi, chumvi, curry powder na pilipili manga.
MAANDAZI