Oct 29, 2024, 03:18 PM
Rais Samia ahimiza wake wa marais Afrika kupigia chapuo matumizi nishati safi ya kupikia
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewahimiza wake wa marais barani Afrika kuongeza juhudi katika kupigia chapuo matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kupunguza athari zinazowakabili wanawake na mazingira kutokana na matumizi ya nishati chafu ikiwemo mkaa na kuni. Kwa muda sasa Rais Samia amejipambanua katika majukwaa ya kitaifa na kimataifa […]